LAZIZI SAUTI SOL CHORDS

lazizi sauti sol chords

Dm7 C
lazizi wangu wee
Dm7 C G
zawadi nono kutoka mbinguni

Dm7 C
nakuwaza my baby
Dm7 C G
nikikuwaza usiku silali

Am Dm7
nikikuona na wengine nashikwa na wivu
G C Em7
naomba unipe namba yako nikuvutie wire
Am
nikupeleke Java
Dm7
tunywe kahawa
G
tukizubaa duba duba

(SAME AS VERSE 1)
mukhali wanje wee
shihanwa shyanje khurula khu-nyasaye
ndakhuyanza my baby
shihanwa shyanje khurula khu-nyasaye

nikikuona na wengine nashikwa na wivu
naomba unipe namba yako nikuvutie wire
nikupeleke Java
tunywe kahawa
tukizubaa duba duba

Am
zunguka zunguzukane
Dm7
nikitafuta kama wewe
G
nina-feel so nice
C Em7
unanipa mi amani
Am
mbele baby
Dm7
sioni njia bila wewe
G
wewe lazizi

Dm7 C Dm7 C G Bb
mazoe manana, kadongangaeuta na lola
Dm7 C
nakanisakayo cheri nanga
Dm7 C G Bb
soki yo tena nzanga kapongi

Guitar playing tips and lessons at Kamata Entertainment. Join our guitar classes to get this and more.

Facebook Comments

Share this: